Gospel Lyrics: Tulikotoka ni Mbali (Ambwene Mwasongwe)

TULIKOTOKA NI MBALI
Mwimbaji: Ambwene Mwasongwe
Tulikotoka ni mbali, tukitazama nyuma
Asingekuwa Bwana, tusingefika hapa
Yale tuliyoyapitia, hayakutuacha tulivyo
Haikuwa rahisi, ni mkono wa Bwana

Mengine yalikuja kama mema, mwisho ukawa mbaya
Mengine yalikuja kama mabaya, kumbe yana kusudi
Lakini katika yote  hayo, tulikuona Bwana

Ukitetea maisha yetu, dhidi ya hatari mbaya
Tulikutana na hatari mbaya, tukajua ni mwisho
Tulikutana na majanga mengi, tukajua hakutakucha
Lakini katika yote hayo wewe ulisimama

Kutetea maisha yetu yasidhulumiwe.......

CHANZO: Tulikotoka



Post a Comment

0 Comments