Mungu aliumbwa na nani?



Who Created God?
Ni swali zuri, kutokana na ukweli kwamba wakristo mara zote wamekuwa wakijiuliza katika mambo makuu ya mwili nani aliumba maisha na ulimwengu ulitokeaje, jibu hubaki nalo wenyewe kuwa hivi vyo viwili haviwezi kutokea pasipo kuwa na muumbaji.

Sasa kama wameweza kukubali kuwa  ulimwengu na vyote vilivyomo  vimetokea kutoka kwa vyenyewe, itawezekanaje kukubali kuwa Mungu (GOD) ‘a more complicated being’ kujiumba mwenyewe?

Post a Comment

0 Comments