Mungu mleta balaa

Biblia imejaa mifano jinsi Mungu aletavyo "Ubaya" kwa maisha ya watu na katika ulimwengu huu. Amosi 3:6 anasema kwamba ukiwapo ubaya mjini, ni Mungu amefanya. 
 
Kwa mfano, kama likiwepo tetemeko la ardhi katika mji, mara nyingi imedhaniwa kwamba Ibilisi amepanga juu ya mji huo, na kuleta msiba mkuu. Lakini mwamini wa kweli inampasa afahamu kwamba ni Mungu anayehusika na tukio hili.

Basi Mika 1:2 anasema kwamba "msiba -ubaya umeshuka toka kwa Bwana umefika mpaka lango la Yerusalemu". Katika kitabu cha Ayubu tunasoma jinsi Ayubu, mtu mwenye haki, alivyopoteza vitu alivyokuwa navyo katika maisha yake. kitabu kinafundisha kwamba kupata 'Ubaya’ katika maisha ya mtu sio moja kwa moja ni kipimo kwa utii wao au uasi juu ya Mungu. Ayubu aligundua hilo "Bwana alitoa, na Bwana ametwaa" (Ayubu. 1:21)

Hasemi Bwana alitoa na shetani ametwaa. Alifafanua kwa mke wake: Je ? tupate me,a mikononi mwa Mungu, nasi (pia) tusipate na mabaya"? (Ayubu. 2:10). Mwishoni mwa kitabu, rafiki zake Ayubu walimfariji kwa habari za huo uovu wote Bwana aliouleta juu yake"(Ayubu. 42: 11; 19: 21; 8: 4). hivyo Mungu ndiye chanzo cha 'Uovu’ kwa maana ya kuwa ni wa kwanza kuruhusu matatizo ambayo tunayo katika maisha yetu.

"Maana yeye ambaye Bwana ampenda humrudi ….. kama mkistshimili kurudiwa …. Lakini baadaye huwaleta wao waliozoezwa nayo matunda ya haki yenye amani" (Ebra. 12: 6 -11). Hii inaonyesha kwamba majaribu ambayo Mungu anatupatia yanatuongoza mwisho kukua kiroho. ni kupinga neno la Mungu juu yake kusema kwamba Ibilisi ni kiumbe anayetulazimisha kutenda dhambi na kutenda yasiyo haki, Wakati huo huo amedhaniwa kuleta matatizo katika maisha yetu ambayo yanatupeleka tupate maendeleo "matunda ya haki yenye amani". 

Hapa wazo la Orthodox juu ya Ibilisi lakimbilia kwenye matatizo makubwa. Makubwa hasa unapoona maneno kama nimempa shetani watu hao "ili wafundishwe wasimtukane Mungu au" kumtolea shetani mtu huyo, ili mwili uadhibiwe, na roho iokolewe katika siku ya Bwana Yesu"

(1 Tim. 1:20; 1 Kor. 5: 5). Ikiwa shetani ni kiumbe anayefanya watu watende dhambi na kuwa na matokeo yasiyofaa juu ya watu, ni kwa sababu gani mafungu haya ya maneno yasema'Shetani’ kwa nuru ya hakika ? Jibu lipo kwa ukweli kwamba adui,'shetani’ au shida katika maisha, mara nyingi inaweza kuleta matokeo ya hakika kiroho katika maisha ya mwamini.

Kama tukikubali kwamba ubaya watoka kwa Mungu, Basi tunaweza kumwomba Mungu afanye jambo lingine kuhusu matatizo ambayo tunayo k. m ayaondoe. Kama hafanyi hivyo, basi, tunajua yametoka kwake Mungu kwa ajili yetu kiroho. Sasa kama tunaamini ya kwamba kuna kiumbe fulani mbaya anayeitwa Ibilisi au shetani anayesababisha matatizo yetu, Basi hakuna namna ya kupatana na mema. 

Ulemavu, Ugonjwa, Kifo cha ghfla au msiba mkuu uchukuliwe kuwa ni bahati mbaya. Ikiwa Ibilisi ni Malaika mwenye dhambi aliye na nguvu, basi atakuwa ni mwenye nguvu nyingi zaidi yetu, hatutakuwa na kuchagua bali kuteseka mikononi mwake. kwa kuhitilafiana, tunafarijiwa kuwa chini ya uongozi wa Mungu, "mambo yote (katika maisha) hufanya kazi pamoja na wale wampendao katika kuwapatia mema"kwa waamini (Rum. 8:28). Kwa hiyo hakuna kitu kama hiki 'bahati’ katika maisha ya mwamini.

Biblia imejaa mifano jinsi Mungu aletavyo "Ubaya" kwa maisha ya watu na katika ulimwengu huu. Amosi 3:6 anasema kwamba ukiwapo ubaya mjini, ni Mungu amefanya. Kwa mfano, kama likiwepo tetemeko la ardhi katika mji, mara nyingi imedhaniwa kwamba Ibilisi amepanga juu ya mji huo, na kuleta msiba mkuu. Lakini mwamini wa kweli inampasa afahamu kwamba ni Mungu anayehusika na tukio hili.

Basi Mika 1:2 anasema kwamba "msiba -ubaya umeshuka toka kwa Bwana umefika mpaka lango la Yerusalemu". Katika kitabu cha Ayubu tunasoma jinsi Ayubu, mtu mwenye haki, alivyopoteza vitu alivyokuwa navyo katika maisha yake. kitabu kinafundisha kwamba kupata 'Ubaya’ katika maisha ya mtu sio moja kwa moja ni kipimo kwa utii wao au uasi juu ya Mungu. Ayubu aligundua hilo "Bwana alitoa, na Bwana ametwaa" (Ayubu. 1:21).

 Hasemi Bwana alitoa na shetani ametwaa. Alifafanua kwa mke wake: Je ? tupate me,a mikononi mwa Mungu, nasi (pia) tusipate na mabaya"? (Ayubu. 2:10). Mwishoni mwa kitabu, rafiki zake Ayubu walimfariji kwa habari za huo uovu wote Bwana aliouleta juu yake"(Ayubu. 42: 11; 19: 21; 8: 4). hivyo Mungu ndiye chanzo cha 'Uovu’ kwa maana ya kuwa ni wa kwanza kuruhusu matatizo ambayo tunayo katika maisha yetu.

"Maana yeye ambaye Bwana ampenda humrudi ….. kama mkistshimili kurudiwa …. Lakini baadaye huwaleta wao waliozoezwa nayo matunda ya haki yenye amani" (Ebra. 12: 6 -11). Hii inaonyesha kwamba majaribu ambayo Mungu anatupatia yanatuongoza mwisho kukua kiroho. ni kupinga neno la Mungu juu yake kusema kwamba Ibilisi ni kiumbe anayetulazimisha kutenda dhambi na kutenda yasiyo haki, Wakati huo huo amedhaniwa kuleta matatizo katika maisha yetu ambayo yanatupeleka tupate maendeleo "matunda ya haki yenye amani". Hapa wazo la Orthodox juu ya Ibilisi lakimbilia kwenye matatizo makubwa. Makubwa hasa unapoona maneno kama nimempa shetani watu hao "ili wafundishwe wasimtukane Mungu au" kumtolea shetani mtu huyo, ili mwili uadhibiwe, na roho iokolewe katika siku ya Bwana Yesu"

(1 Tim. 1:20; 1 Kor. 5: 5). Ikiwa shetani ni kiumbe anayefanya watu watende dhambi na kuwa na matokeo yasiyofaa juu ya watu, ni kwa sababu gani mafungu haya ya maneno yasema'Shetani’ kwa nuru ya hakika ? Jibu lipo kwa ukweli kwamba adui,'shetani’ au shida katika maisha, mara nyingi inaweza kuleta matokeo ya hakika kiroho katika maisha ya mwamini.

Kama tukikubali kwamba ubaya watoka kwa Mungu, Basi tunaweza kumwomba Mungu afanye jambo lingine kuhusu matatizo ambayo tunayo k. m ayaondoe. Kama hafanyi hivyo, basi, tunajua yametoka kwake Mungu kwa ajili yetu kiroho. Sasa kama tunaamini ya kwamba kuna kiumbe fulani mbaya anayeitwa Ibilisi au shetani anayesababisha matatizo yetu, Basi hakuna namna ya kupatana na mema.

 Ulemavu, Ugonjwa, Kifo cha ghfla au msiba mkuu uchukuliwe kuwa ni bahati mbaya. Ikiwa Ibilisi ni Malaika mwenye dhambi aliye na nguvu, basi atakuwa ni mwenye nguvu nyingi zaidi yetu, hatutakuwa na kuchagua bali kuteseka mikononi mwake. kwa kuhitilafiana, tunafarijiwa kuwa chini ya uongozi wa Mungu, "mambo yote (katika maisha) hufanya kazi pamoja na wale wampendao katika kuwapatia mema"kwa waamini (Rum. 8:28). Kwa hiyo hakuna kitu kama hiki 'bahati’ katika maisha ya mwamini.

Imetayarishwa na Jabir Johnson........Septemba 9, 2014

Post a Comment

0 Comments