HATIMAYE ABEL CHAHEKA, ABATIZWA


JANURI 22, 2012, Abel Chaheka alimpokea Bwana Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yake katika Kanisa la Tanzania Assemblies of  God Ilomba Christian Centre Jijini Mbeya.
 ABEL CHAHEKA AKIONGOZWA SALA YA TOBA NA MZEE KYANDO KANISANI HAPO SIKU HIYO.
Baada ya Mafundisho ya Neno la Mungu kuhus kile alichokipokea Machi 11, 2012 alibatizwa kutimiza haki yote.
 MCHUNGAJI MWAKITALU AKIMPA MAELEKEZO  KABLA YA KUMBATIZA  ABEL CHAHEKA





 ABEL CHAHEKA AKIPONGEZWA BAADA YA KUBATIZWA.

Post a Comment

0 Comments