Logo ya MCRCTV, Bonde la Kukata Mashauri



“YOELI mwana wa Pethueli,” hayo ndiyo mambo yote anayosema kujihusu yeye mwenyewe. (Yoeli 1:1) Katika kitabu kinachoitwa kwa jina lake, Yoeli hasemi mengi kuhusu mambo mengine ila ujumbe wake. Kwa nini Yoeli hasemi mengi kujihusu? Inaelekea ni kwa sababu alitaka kukazia ujumbe badala ya mjumbe.

Pia katika siku za Uzia, Amosi, mkaaji wa Yuda ambaye alikuwa “mchungaji na mminyaji wa tini za mikuyu,” anapewa utume wa kuwa nabii. (Amosi 7:14) Tofauti na Yoeli, ambaye anatoa unabii huko Yuda, Amosi anatumwa kaskazini kwenye ufalme wa makabila kumi ya Israeli. 

Yoel 3:14 inaonyesha kuhusu Bonde la Kukata Mashauri. MCRCTV imechukua mstari huo kuwa motto. 

MCRCTV
‘Bonde la Kukata Mashauri’
Nembo ya MCRCTV



NYONGEZA
Jina Yoeli maana yake ni “Bwana ni Mungu” na lina maana sawa na lile la Eliya. Mapokeo yanahuasiana kati ya Hosea na Amosi kwenye Karne ya 8 KK, kwa hiyo amekubalina na utaratibu wa kikanuni wa maandiko. Kiteolojia kitabu chake kinahusiana na nabii Ezekieli na kinaonekana kuwa kinahusiana na mambo na matukio yanayolingana.

Post a Comment

0 Comments