IJUMAA YA MARAFIKI MBEYA YAANZA



IJUMAA ya Marafiki inatarajiwa kuanza muda wowote kuanzia sasa katika Mkahawa wa Metro Cuisine Jijini Mbeya.
 AMICA SASALI MOJAWAPO WA WASHIRIKI
Shamrashamra hizi hufanyika kila Ijumaa ya  mwisho wa mwezi mkoani humo kwa ajili ya kukutana na kutengeneza mtandao hususani kuvunja viambaza vya madhehebu ndani Ukristo.

MC wa leo ni Clemence Kabuje. 





Post a Comment

0 Comments