Je, hivi ndivyo alivyokusudia Mungu?



Katika magazeti, televisheni na redio kuna habari nyingi kuhusu visa vya ugaidi, vita na uhalifu. 

Hebu fikiria pia mihangaiko yako mwenyewe. Labda unasumbuliwa na ugonjwa fulani au umefiwa na mtu unayempenda. Huenda ukahisi kama alivyohisi Ayubu, aliyesema kwamba maisha yake yalikuwa yamejaa masumbuko Ayubu 10:15
Hebu jiulize:
1.           Je, hivi ndivyo Mungu alivyokusudia maisha yangu na ya wanadamu wengine yawe?
2.           Ninaweza kupata wapi msaada kukabiliana na matatizo yangu?
3.           Je, Dunia itapata kuwa na amani?
Biblia inajibu maswali hayo  kwa njia nzuri.

Post a Comment

0 Comments