KIFO CHATANGAZWA CHA MWIMBAJI WA INJILI TANZANIA



Kwaya ya Uinjilisti  Kanisa  la KKKT Kariakoo,wanasikitika kutangaza msiba wa muimbaji mwenzao Bi Agnes Yamo,kilichotokea katika hospital ya Lugalo asubuhi ya leo saa 2.30.
Agnes alizaliwa mwaka 1978. Taratibu zote za msiba mtajulishwa.
Bwana alito na Bwana ametwaa Jina lake libarikiwe,..Amina.

Post a Comment

2 Comments

  1. This comment has been removed by the author.

    ReplyDelete
  2. mungu akubaliki kwa kile chochote ambacho kimpendezao maishani mwake na akueke mikononi mwake mirere na zaidi

    ReplyDelete