HEKIMA NI YESU MWENYEWE

C.A’s

MARIA NKWAMA

MASOMO: Hekima


KITABU: Mithali


Details:


• Manufaa ya Hekima

• Ubora wa Hekima

• Haiwezekani kuijua Hekima pasipo kumjuaa Bwana Mungu (Hekima ni Kumcha Bwana)

• Hekima inatafutwaa, anayeipata hupata utaajiri na heshima

• Hekima ni Yesu Mwenyewe

• “Wokovu” wa Yesu kwa mwanadamu ni wa muhimu. Utambue uthamani wa kuwa nao.


MAANDIKO:


Mithali 8:11, 22-31, 32-36

• Yoh.1:1-4

• Ayubu 28:12-18

• Isaya 45:18

• 1Kor.1:23-25
 VIJANA WAKITOKA IBADA KUU NA KWENDA IBADA YA C.A's

MWALIMU:


Maria Nkwama


Katika ibada ya kwanza ya Februari 5 mwaka huu Vijana wa Idara hii waliorekodi albamu waliimba wanajulikana kama mapacha.



















Post a Comment

0 Comments