IHOMEKE: UPENDO HAUONI UCHUNGU

Somo:          UPENDO
Mwalimu:  Aminika Ihomeke
Mahali:      Kanisa la TAG Ilomba Christian Centre, Mbeya
Ibada:        C.A’s Jumapili Februari 26, 2012
 AMINIKA IHOMEKE  AKIFUNDISHA KANISANI KATIKA IBADA YA JUMAPILI KWENYE DARASA LA C.A's
 AMINIKA IHOMEKE AKIENDELEA KUFUNDISHA C.A's

·       Upendo “hausudu” (usiokuwa na hila)

·       Upendo “hautakabali” (hautafuti sifa-haujionyeshi”)

·       Upendo haukosi kuwa na “adabu”(aliyekosa adabu hawezi kuwa na nidhamu, mwenye adabu ana nidhamu na hana dharau-Mithali 3:4, Fil. 4:8, 2Kor. 8:21-24, 1Sam. 2:26, Lk.2:52, Mdo 2:47. Upendo ulikosa adabu ni kero na ubatili).

·       Upendo hautafuti mambo yake (Fil.2:4, 1Kor. 10:24, 31-33, Rum. 15:1-2. Upendo wenye kutafuta mambo yake ni UKOLONI).

·       Upendo hauoni uchungu (uchungu ni maumivu yanayoambatana na masikitiko. Ef.4:23,Kol. 3:12 Ni heri ukatili wenye upendo kuliko upendo wenye uchungu.

Post a Comment

1 Comments