SIKUKUU YA WANAWAKE MACHI 4, 2012: TAG ILOMBA MBEYA

KANISA la Tanzania Assemblies of God Ilomba Christian Centre Mbeya, Machi 4 mwaka huu limesheherekea Sikukuu ya Wanawake katika Kanisa hilo kwa kumtunza Mchungaji Vinac Amnon Mwakitalu kiasi cha Shilingi za Kitanzania 2,182,000.
 WANAWAKE WA KANISA LA TAG ILOMBA MBEYA WAKIFUNGUA SIKUKUU YAO KWA MAANDAMANO KANISANI HAPO
 
Blogu ya JAIZMELALEO ilikuwepo Kanisa hapo tangu mwanzo wa shamrashamra hizo majira ya saa 2 asubuhi hadi saa 10 jioni.

Mgeni Mwalikwa wa Neno alikuwa Mchungaji Rozina Janga kutoka Kanisa la TAG Mbalizi Mbeya Vijijini.
 MADHABAHUNI ILOMBA MBEYA
 MAMA MCHUNGAJI MARIA MWAKITALU AKITABASAMU WAKIINGIA KANISA HAPO
 KABLA YA MAANDAMANO TAG ILOMBA ILIKUWA HIVI
 KINA MAMA WAKIZUNGUMZA JAMBO KABLA YA KUANZA
 WENGINE WALIKUWA NDANI WAKIIMBISHA KUWAPOKEA WENZAO WALIKUWA NJE
 WALIANZIA KWENYE GETI LA KANISA HILO LILILOPO MASHARIKI YA JENGO LA KANISA

 KWA FURAHA KUU WALIINGIA KUASHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KATIKA KANISA LA TAG


Post a Comment

0 Comments