MCRCTV YAKUMBUKA CHIMBUKO LAKE



MWAKA 2013 MCRCTV iliumaliza kwa kutembelea mahali ambapo wazo la Blog hii lilipoanzia, ikiwa ni baada ya miaka 4. 

Blog ilianzishwa mwaka 2009.

 KANISA LA T.A.G MSEWE LINAVYOONEKANA KWA SASA


 MZEE WAMBURA

 MWANADADA OLIPA NA FELICIAN NKWERA WAKIFURAHIA JAMBO BAADA YA KUKUTANA NA MIONGONI MWA WAANZILISHI WA BLOG HII




 SEHEMU AMBAKO MCHORAJI HUYO ALIKUWA AKIFANYA KAZI YAKE



Ilikuwa ni Desemba 9, 2013 ilipofika katika Kanisa la Tanzania Assemblies of God Msewe Christian Revival Centre(MCRC) na kukutana na wapendwa katika Kristo Yesu.

Kauli mbiu ya Bonde la Kukata Mashauri ilitokea hapo.

Miongoni mwao ni Mzee Wambura, Mpiga Keyboard Felician Nkwera na wengine kama ionekanavyo katika picha.

Sehemu ambayo kikosi cha kuianzisha blog hii kilikuwa kikikutana ilikuwa ni katika mtaa wa Shule ya Msingi Msewe kwa mchoraji aliyefahamika kwa jina la Johnson.

MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU IBARIKI AFRIKA

Post a Comment

0 Comments